Monday, 26 March 2018

TAARIFA : BLOG BADO IPO KWENYE MATENGENEZO

Habari wapendwa. Blog hii ya Kanisa Anglikana Tanzania Mtaa wa Mtwara ( MT. Mikaeli na Malaika Wote Mtwara inaandaliwa ili kutumika kutupatia habari mbalimbali za Kanisa husuasani za Kanisa Angalikana Mtwara ila pia kama kutakuwa na habari ambazo ni muhimukutoka makanisa mengine pia zitapatikana. kwa sasa mafundi wanaendelea na matengenezo na muda si mrefu kwa neema ya Mungu itakuwa tayari . Mungu awabariki na muendelee kuiombea.

No comments:

Post a Comment